STOCKE CITY YAMSAJILI WINGA WA RAMADAN SOBHI KUTOKA AL AHLY

Posted by Dady on 2:07:00 PM




STOCKE CITY imefanikiwa kumsajili winga wa timu ya taifa ya Egypt Ramadan Sobhi kutoka klabu ya Al Ahly mabingwa wa kihisoria klabu bingwa Afrika  kwa ada ya €6 million.

Sobhi  mwenye miaka19, amekuwa ingizo jipya na la kwa kwa Sotke City katika msimu wa 2016/2017 na tayari amepata kibali cha kazi . 
Ramadan Sobhi ameshinda mataji sita akiwa na Al -Ahly  akicheza kama winga.

Sobhi vilevile alikuwa ananyemelewa na AS Roma ya Italia na Arsenal ya England zote zinashiriki ligi kuu katika mataifa hayo.



Nama Anda
New Johny WussUpdated: 2:07:00 PM

0 comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.
CB